forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
814 B
Markdown
29 lines
814 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Wakinena pamoja, watu walinukuu Zaburi ya Daudi kutoka Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Neno "wao" linamaanisha baadhi ya waumini, lakini si Petro na Yohana.
|
||
|
|
||
|
# Walikuja kwa watu wao
|
||
|
|
||
|
Walikwenda kwa waumini wenzao.
|
||
|
|
||
|
# kwa Roho Mtakatifu, kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ulisema
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Roho Mtakatifu alisababisha Daudi kunena au kuandika kile Mungu alichosema.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kinywa cha baba yetu Daudi
|
||
|
|
||
|
Neno "kinywa" linaelezea yale maneno ambayo Daudi aliyasema ama aliyaandika "Kwa maneno ya baba yetu Daudi"
|
||
|
|
||
|
# Kwanini watu wa mataifa wamefanya ghasia, na watu wametafakari mambo yasiyofaa?
|
||
|
|
||
|
Hili ni swali lenye jibu linaloelezea maneno yenye ubatili ya kumpinga Mungu.
|
||
|
|
||
|
# watu wametafakari mambo yasiyofaa
|
||
|
|
||
|
Watu wanatafakari maneno ya ubatili yaliyo kinyume na Mungu.
|
||
|
|