forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
755 B
Markdown
29 lines
755 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea kumuasa Timotheo awajali wanaume, wanamke, wajane na wanawake wazee ndani ya kanisa.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Paulo alikua anatoa maagizo haya kwa mtu mmoja, Timotheo.
|
||
|
|
||
|
# Usimkemee mwanaume mzee.
|
||
|
|
||
|
"Usiongee kwa ukali kwa mzee wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# Ila msihi kama baba
|
||
|
|
||
|
"Ila mtie moyo kama uongeavyo na baba yako," kwa adabu.
|
||
|
|
||
|
# Msihi kijana wa kiume kama ndugu
|
||
|
|
||
|
"Mtie moyo vijana wa kiume kama ndugu zako" au "wafundishe vijana wakiume kama ambavyo ungefundisha ndugu zako," kwa amani.
|
||
|
|
||
|
# Wanawake vijana kama dada
|
||
|
|
||
|
"wasihi wanawake vijana kama ambavyo unge wasihi dada zako" au "wafundishe wanawake vijana kama ambavyo ungewafundisha dada zako,"
|
||
|
|
||
|
# Kwa usafi wote
|
||
|
|
||
|
"kwa mawazo safi na matendo" au "katika hali ya utakatifu"
|
||
|
|