forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
797 B
Markdown
33 lines
797 B
Markdown
|
# Yeye mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Yesu kwa msisitizo.
|
||
|
|
||
|
# Alichukua dhambi zetu
|
||
|
|
||
|
Njia ambazo Yesu alikubali lawama na adhabu kwa dhambi za watu wengine.
|
||
|
|
||
|
# Dhambi zetu
|
||
|
|
||
|
Tukio lolote la "yetu" na "sisi" linamaanisha Petro na waumini anaowandika.
|
||
|
|
||
|
# Katika mwili wake kwenye mti
|
||
|
|
||
|
Hii inamaaniasha wakati watu walipo muweka Yesu msalabani.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mateso yake umeponywa
|
||
|
|
||
|
"Mungu amekuponya kwa sababu watu walimwumiza Yesu."
|
||
|
|
||
|
# Ninyi nyote
|
||
|
|
||
|
Neno "Nyinyi" linamaanisha waumini Petro anawaandika.
|
||
|
|
||
|
# mulikuwa mukitembea mbali kama kondoo muliopote.
|
||
|
|
||
|
Petro anawafananisha waumini na kupoteza kondoo kwa kutokuwa na upendo bila Kristo.
|
||
|
|
||
|
# lakini sasa mumerejea kwa mchungaji na mlezi wa nafsi zenu
|
||
|
|
||
|
Kama vile kondoo watarejea kwa mchungaji wao, waumini pia wamerejea kwa Yesu ambaye hutoa na kuwahifadhi.
|
||
|
|