forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.2 KiB
Markdown
37 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Yohana anaendelea kuandika juu ya ushirika na anaonyesha kwamba inawezekana kwa sababu Yesu yuko kati ya waaminio na Baba.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "tunaye' na "zetu" humaanisha Yohana na waaminio wote. Neno "Yeye" na "zake" yaweza kumaanisha Mungu Baba au Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Watoto
|
||
|
|
||
|
Yohana alikuwa mzee na kiongozi wao. Alitumia maelezo haya kuonyesha pendo lake kwao. : "Watoto wangu wapendwa katika Kristo" au "Ninyi mliowapendwa kwangu kama watoto wangu mwanyewe"
|
||
|
|
||
|
# ninawaandikia mambo haya
|
||
|
|
||
|
"Ninaandika barua hii"
|
||
|
|
||
|
# Lakini kama mmoja wenu akitenda dhambi
|
||
|
|
||
|
"Lakini mmoja wenu anapotenda dhambi." Hili ni jambo ambalo inawezekana likatokea"
|
||
|
|
||
|
# tunaye wakili aliye pamoja na Baba,
|
||
|
|
||
|
Neno "wakili" hapa humaanisha Yesu. : "mtu anayezungumza kwa Mungu Baba na kumsihi yeye apate kutusamehe sisi"
|
||
|
|
||
|
# eye ni upatanisho kwa dhambi zetu, na siyo kwa dhambi zetu
|
||
|
|
||
|
"Aliyatoa dhabifu maisha yake mwenyewe kwa ajili yetu, na kwa sababu ya hilo Mungu husamehe dhambi zetu"
|
||
|
|
||
|
# Kwa hili twajua kwamba , kama tukizishika amri zake.
|
||
|
|
||
|
"Kama tunafanya anayotuambia kufanya, kisha tutakua na uhakika kwamba tunao uhusiano na yeye"
|
||
|
|
||
|
# tunamjua yeye
|
||
|
|
||
|
"tunao uhusiano na yeye"
|
||
|
|