forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
802 B
Markdown
32 lines
802 B
Markdown
|
# sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Kwa sababu ya wale wanaopinga neno la Mungu, Paulo anampa Tito sababu za kufundisha Neno la Mungu na kumwonya kuhusu waalimu wa uongo.
|
||
|
|
||
|
# watu waasi
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watu waasi waliokuwa wakiupinga ujumbe wa injili ya Paulo.
|
||
|
|
||
|
# Wale wa tohara
|
||
|
|
||
|
inarejea wakristo wa Kiyahudi walikuwa wakifundisha kwamba ili kumfuata Kristo, mtu lazima atahiriwe.
|
||
|
|
||
|
# Maneno yao ni upuuzi
|
||
|
|
||
|
'Maneno yao hayana faida yoyote"
|
||
|
|
||
|
# Ni muhimu kuwakataza
|
||
|
|
||
|
"Ni lazima kuwazuia wasieneze mafundisho yao" au "Ni lazima kuwakataza kwa ushawishi wa maneno yao"
|
||
|
|
||
|
# yale wasiyotakiwa kufundisha
|
||
|
|
||
|
Vitu ambavyo si sahihi kuvifundisha kuhusu Kristo na sheria.
|
||
|
|
||
|
# Kwa faida ya aibu
|
||
|
|
||
|
"Hii inarejela faida ambayo watu wanapata kwa kufanya mambo yasiyo na heshima.
|
||
|
|
||
|
# Wanaharibu nyumba nzima
|
||
|
|
||
|
"huharibu imani za familia yote"
|