forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
762 B
Markdown
28 lines
762 B
Markdown
|
# yale uliyoyapokea na kusikia
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha neno la Mungu ambalo waliamini. "neno la Mungu mlilosikia na ukweli mlioamini"
|
||
|
|
||
|
# usipoamka
|
||
|
|
||
|
Kuwa makina na hatari huzungumziwa kama kuamka. "Kuwa makini" au "Kuwa mwangalifu."
|
||
|
|
||
|
# nitakuja kama mwivi
|
||
|
|
||
|
Yesu atakuja wakati watu hawatarajii kama vile mwizi ajavyo asipotarajiwa.
|
||
|
|
||
|
# majina machache ya watu
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha watu wenyewe. "watu wachache"
|
||
|
|
||
|
# hawakuchafua nguo zao
|
||
|
|
||
|
Yesu anazungumzia dhambi katika maisha ya mtu kama vile ni nguo chafu. "hawajafanya maisha yao yawe yenye dhambi kama nguo chafu"
|
||
|
|
||
|
# Watatembea pamoja nami
|
||
|
|
||
|
Watu kawaida walizungumzia kuishi kama "kutembea."
|
||
|
|
||
|
# wamevaa nguo nyeupe
|
||
|
|
||
|
Nguo nyeupe huashiria maisha masafi bila dhambi. "na watavikwa nguo nyeupe ambayo inaonesha waso ni wasafi"
|