forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
628 B
Markdown
24 lines
628 B
Markdown
|
# Kumbukeni alivyo..
|
||
|
|
||
|
"Kumbukeni yale"
|
||
|
|
||
|
# alivyosema nanyi
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa amekwisha kusema haya wiki moja mapema.
|
||
|
|
||
|
# nanyi
|
||
|
|
||
|
Neno "nanyi" linaonesha wingi. Inaongelea juu ya wale wanawake na wanafunzi wengine.
|
||
|
|
||
|
# kwamba Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa kunukuu jambo si kwa njia ambayo imenyooka.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adamu lazima atolewe kwenye mikono ya watu wenye dhambi na asulubishwe.
|
||
|
|
||
|
Hii ni jamboa bila shaka lingetokea kwa sababu alikuwa ameamua kwamba litatokea. Tafsiri mbadala: "ilikuwa ni lazima wamtoe Mwana wa Adamu kwa watu wenye dhambi ili waweze kumsulubisha .
|
||
|
|
||
|
# kwenye mikono
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unaonyesha nguvu au uthibiti.
|