forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
438 B
Markdown
24 lines
438 B
Markdown
|
# Pilato akamuuliza
|
||
|
|
||
|
"Pilato akamuuliza Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Wewe wasema
|
||
|
|
||
|
"Ulichokisema ni sawa" au " Ni kama ulivyo niuliza mimi"
|
||
|
|
||
|
# makutano
|
||
|
|
||
|
"Mkusanyiko wa watu"
|
||
|
|
||
|
# Sioni kosa kwa mtu huyu
|
||
|
|
||
|
"Sijaona kuwa mtu huyo ana hatia ya kitu chochote)
|
||
|
|
||
|
# akiwachochea
|
||
|
|
||
|
"kusababisha ghasia miongoni"
|
||
|
|
||
|
# kuanzia Galilaya na sasa yuko hapa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Alianza kusababisha ghasia huko Galilaya na sasa anasababisha ghasia hapa"
|