sw_tn/luk/22/69.md

36 lines
1.1 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# kuanzia sasa
"kuanzia siku hii" au "kuanzia kutoka leo"
# Mwana wa Adamu
Yesu alitumia sentensi hii kumaanisha Kristo. Alimaanisha kwamba alikuwa akijiongelea mwenyewe, lakini wazee iliwalazimu kuuliza kuona kama hivyo ndivyo kweli alikuwa akisema.
# amekaa mkono wa kuume wa nguvu ya Mungu
Wayahudi walielewa kwamba hakuna hata mmoja ambaye angeweza kukaa pale.Waliiona hii ni sawa na kusema "atakuwa na Mungu kama Mungu."
# nguvu ya Mungu
"Mungu mwenye nguvu zote." Hapa "nguvu" inamaanisha mamlaka yake kuu.
# Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu?
Baraza lilimhukumu Yesu kusulubiwa kwa sababu alijithibitishia kwamba yeye alikuwa "Mwana wa Mungu," akijua Baraza litamhukumu kifo.
# Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.
# Ninyi mmesema mimi ndiye
"Ndiyo, ni kama mlivyosema"
# Kwanini bado tunahitaji tena ushahidi?
Walitumia swali kwa kuweka msisitizo. Tafsiri mbadala: "Hatuna haja tena ya kuwa na ushahidi!"
# tumesikia kutoka katika kinywa chake mwenyewe
Tafsiri mbadala: "tumesikia moja kwa moja kutoka kwake kwamba anaamini yeye ni Mwana wa Mungu"