forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
478 B
Markdown
16 lines
478 B
Markdown
|
# Alipoamka kutoka katika maombi yake
|
||
|
|
||
|
Tafrisi mbadala: "Wakati Yesu alipoamka baada ya kuomba" au "Baada ya kuomba, Yesu aliamka na"
|
||
|
|
||
|
# akawakuta wamelala kwa sababu ya huzuni nyingi
|
||
|
|
||
|
"aliwaona kwamba walikuwa wamelala kwa sababu walikuwa na huzuni sana"
|
||
|
|
||
|
# Kwanini mnalala?
|
||
|
|
||
|
Inaweza kumaanisha 1) "Nashangazwa kwamba mnalala sasa" au 2) "Hampaswi kuwa mmelala sasa hivi!"
|
||
|
|
||
|
# kwamba msiingie majaribuni
|
||
|
|
||
|
"msijaribiwe" au "hakuna kitu cha kuwajaribu na kuwafanya mtende dhambi"
|