forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
717 B
Markdown
24 lines
717 B
Markdown
|
# mmeendelea kuwa nami katika majaribu yangu
|
||
|
|
||
|
"mmekaa nami katika mapito yangu"
|
||
|
|
||
|
# Nawapa ninyi ufalme, kama vile Baba alivyonipa mimi ufalme
|
||
|
|
||
|
Lugha nyingine zinaweza hitaji kubadilisha mpangilio. "Kama baba alivyonipa mimi ufalme, nami nawapeni."
|
||
|
|
||
|
# Nawapa ninyi ufalme
|
||
|
|
||
|
"Nawafanya ninyi watawala katika Ufalme wa Mungu" au "Nawapa ninyi mamlaka kutawala katika ufalme" au "Nitawafanya ninyi wafalme"
|
||
|
|
||
|
# kama Baba alivyonipa mimi ufalme
|
||
|
|
||
|
"kama Baba alivyonipa mimi mamlaka kutawala kama mfalme katika ufalme wake"
|
||
|
|
||
|
# Mtakaa kwenye viti vya enzi
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "mtafanya kazi kama wafalme" au "mtafanya kazi za wafalme"
|
||
|
|
||
|
# Viti vya enzi
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "Viti vya wafalme" au "viti vilivyotengenezwa kwa wafalme"
|