forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
649 B
Markdown
24 lines
649 B
Markdown
|
# alipokwisha kushukuru
|
||
|
|
||
|
"alipokwisha toa shukurani kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# akasema
|
||
|
|
||
|
"akasema kwa mitume wake"
|
||
|
|
||
|
# mgawane ninyi kwa ninyi
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "mgawane divai miongoni mwenu" au "ninyi wote mnywe divai kidogo kutoka katika hiki"
|
||
|
|
||
|
# kwa maana nawaambia
|
||
|
|
||
|
Hii sentensi inatumika kusisitiza wa kile ambacho Yesu atakisema baada ya hiki.
|
||
|
|
||
|
# mzao wa mzabibu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea "jwisi" ambayo inakamuliwa kutoka katika zabibu inayoota kwenye shamba la mizabibu. Divai inatokana na "jwisi" ya zabibu iliyochacha.
|
||
|
|
||
|
# mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoimarisha ufalme wake" au "mpaka Mungu atakapotawala katika ufalme wake.
|