forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
441 B
Markdown
12 lines
441 B
Markdown
|
# Nina shauku kubwa
|
||
|
|
||
|
"Nimetaka sana"
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana nawaambieni
|
||
|
|
||
|
Hii sentensi inatumika kusisitiza umuhimu wa kile Yesu atakisema baada ya hicho.
|
||
|
|
||
|
# mpaka itakapotimizwa
|
||
|
|
||
|
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "mpaka kusudi la Sikukuu ya Pasaka litakapokuwa limetimizwa" au 2) "mpaka tutakapokula na kushangilia Sikukuu ya mwisho ya Pasaka." Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoitimiliza" au "mpaka Mungu atakapolitimiliza kusudi la Sikukuu ya Pasaka."
|