forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
549 B
Markdown
28 lines
549 B
Markdown
|
# Akawajibu
|
||
|
|
||
|
"Yesu akawajibu Petro na Yohana"
|
||
|
|
||
|
# mwanaume ambaye amebeba mtungi wa maji atakutana na ninyi.
|
||
|
|
||
|
"mtamuona mtu amebeba mtungi wa maji"
|
||
|
|
||
|
# amebeba mtungi wa maji
|
||
|
|
||
|
"amebeba mtungi wenye maji ndani yake." Inawezekana angekuwa amebeba mtungi begani mwake.
|
||
|
|
||
|
# Mfuateni kwenye nyumba ambayo ataingia
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "Mfuateni, na ingieni kwenye hiyo nyumba"
|
||
|
|
||
|
# Mwalimu anakwambia
|
||
|
|
||
|
Hii inaanzisha nukuu elekezi ambapo Yesu aliwaambia wanafunzi wake nini cha kusema.
|
||
|
|
||
|
# Mwalimu
|
||
|
|
||
|
Hii inaongela juu ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Kula Pasaka
|
||
|
|
||
|
"kula mlo wa Pasaka"
|