sw_tn/luk/20/05.md

20 lines
530 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Walijadiliana
"Walijadili" au "walitafakari jibu lao"
# "tukisema imetoka mbinguni'
Lugha nyingine zinatumia nukuu ya moja kwa moja. "Kama tukisema mamlaka ya Yohana yalitoka Mbinguni"
# Toka mbinguni
"Toka kwa Mungu" inategemea na namna ambavyo swali lilitafsiriwa kwenye mistari iliyopita, hii inaweza kutafsiriwa kama "Mungu alifanya" au "Mungu alimpa mamlaka"
# Atasema
Yesu atasema
# kutupia mawe
"Kutuua kwa kutupiga mawe" Sheria ya Mungu imeamuru watu wake kuwapiga mawe watu wanaomdhihaki yeye au manabii zake.