forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
530 B
Markdown
20 lines
530 B
Markdown
|
# Walijadiliana
|
||
|
|
||
|
"Walijadili" au "walitafakari jibu lao"
|
||
|
|
||
|
# "tukisema imetoka mbinguni'
|
||
|
|
||
|
Lugha nyingine zinatumia nukuu ya moja kwa moja. "Kama tukisema mamlaka ya Yohana yalitoka Mbinguni"
|
||
|
|
||
|
# Toka mbinguni
|
||
|
|
||
|
"Toka kwa Mungu" inategemea na namna ambavyo swali lilitafsiriwa kwenye mistari iliyopita, hii inaweza kutafsiriwa kama "Mungu alifanya" au "Mungu alimpa mamlaka"
|
||
|
|
||
|
# Atasema
|
||
|
|
||
|
Yesu atasema
|
||
|
|
||
|
# kutupia mawe
|
||
|
|
||
|
"Kutuua kwa kutupiga mawe" Sheria ya Mungu imeamuru watu wake kuwapiga mawe watu wanaomdhihaki yeye au manabii zake.
|