forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
450 B
Markdown
20 lines
450 B
Markdown
|
# Alipokuwa nateremka katibu
|
||
|
|
||
|
"Yesu alipokaribia" au "Yesu alipokuwa anakaribia." Wanafunzi wa Yesu walikuwa wakisafiri pamoja naye.
|
||
|
|
||
|
# Mambo makubwa waliyoyaona
|
||
|
|
||
|
"Mambo makubwa waliyoyaona yakifanywa na Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Amebarikiwa Mfalme
|
||
|
|
||
|
Walisema haya kuhusu Yesu
|
||
|
|
||
|
# Kwa jina la Bwana
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" linaelezea nguvu na mamlaka. Pia "Bwana" linamaanisha Mungu
|
||
|
|
||
|
# Utukufu juu
|
||
|
|
||
|
"Acha kila mtu amtukuze yeye aliye juu sana" au "acha kila mtu amsifu aliye juu"
|