forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
666 B
Markdown
28 lines
666 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anakaribia Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Aya hii imetumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kama lungha yako ina njia nyingine ya kusema hivi unaweza ukatumia hivyo.
|
||
|
|
||
|
# Alipofika karibu
|
||
|
|
||
|
Neno "yeye" linamaanisha Yesu. Wanafunzi wake walisafiri pamoja naye.
|
||
|
|
||
|
# Bethfage
|
||
|
|
||
|
Bethfage kilikuwa kijiji kwenye mlima wa Mizeituni, ambayo imepita katikati ya bonde la Kidron toka Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Mlima ulioitwa Mizeituni
|
||
|
|
||
|
"Mlima ulioitwa Mlima wa Mizeituni" au Mlima ulioitwa "mlima wa mti wa Mizeituni"
|
||
|
|
||
|
# Mwanapunda
|
||
|
|
||
|
"Punda mdogo" au "myama mdogo wa kumuendesha"
|
||
|
|
||
|
# Ambaye hajapandwa bado
|
||
|
|
||
|
"ambae hamna mtu aliyemtumia"
|