forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
411 B
Markdown
16 lines
411 B
Markdown
|
# Mtu mkali
|
||
|
|
||
|
'Mtu wakali' au 'mtu ambaye anatarajia mengi toka kwa watumishi wake'
|
||
|
|
||
|
# Unachukua kile usichokiweka
|
||
|
|
||
|
Ni fumbo linaloelezea mtu mkorofi. "unaondoa kitu asichokiweka" au "unachukua kitu ambacho sio chako."
|
||
|
|
||
|
# Kuvuna kile usichopanda
|
||
|
|
||
|
"Kuvuna usichokipanda." Mtumishi alikuwa anamfananisha bwana wake na mkulima anayechukua chakula ambacho mtu mwingine alikipanda.
|
||
|
|
||
|
# Kuvuna
|
||
|
|
||
|
"kukusanya" au "kuweka"
|