forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
429 B
Markdown
20 lines
429 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Mstari huu sio sehemu ya simulizi lakini ni mawazo kuhusu sehemu ya simulizi hii.
|
||
|
|
||
|
# Hawakuelewa mambo haya
|
||
|
|
||
|
"Hawakuelewa kabisa mambo haya"
|
||
|
|
||
|
# Mambo haya
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea namna ambavyo Yesu atateseka na kufa Yerusalemu, na atafufuka toka kwa wafu.
|
||
|
|
||
|
# Neno hili lilikuwa limefichwa kwao
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliwafanya wasielewe maana ya kile alichokuwa akiwaambia"
|
||
|
|
||
|
# Mambo ambayo aliyasema
|
||
|
|
||
|
"Mambo ambayo Yesu aliyasema"
|