forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
428 B
Markdown
20 lines
428 B
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa mazungumzo kuhusu kuingia kwenye ufalme wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kila kitu kilicho chetu
|
||
|
|
||
|
"utajiri wetu wote" au "Mali zetu zote"
|
||
|
|
||
|
# Amini, nawaambia
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia maelezo haya kuonyesha umuhimu wa kile anachotaka kukisema.
|
||
|
|
||
|
# Hakuna mtu aliyeacha....... ambaye hatapokea
|
||
|
|
||
|
"kila aliyeacha... atapokea"
|
||
|
|
||
|
# Na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele
|
||
|
|
||
|
"na pia uzima wa milele katika ulimwengu ujao"
|