forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
664 B
Markdown
28 lines
664 B
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha"
|
||
|
|
||
|
Yesu anaanza kuwaambia mfano akiendelea kuwafundisha wanafunzi wake. Hii ni sehemu ile ile ya simulizi. Mstari wa 1 unatupa maelezo ya mfano ambao Yesu anataka kuusema.
|
||
|
|
||
|
# Kisha
|
||
|
|
||
|
"Kisha Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Wanapaswa kusali daima wala wasikate tamaa
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi mbili zina maana sawa ambayo Yesu aliitumia ili kusisitiza. Lugha zingine zina namna tofauti za kusisitiza. "Daima muendelee kuomba."
|
||
|
|
||
|
# akasema
|
||
|
|
||
|
Hii pia inaweza kuanza kwenye sentensi mpya "Akasema"
|
||
|
|
||
|
# Kulikuwa na hakimu katika mji fulani
|
||
|
|
||
|
Neno "fulani" imetumika kuonyesha kuwa hii ilitokea, lakini bila kumuonyesha hakimu au mji.
|
||
|
|
||
|
# Kuogopa
|
||
|
|
||
|
Ogopa
|
||
|
|
||
|
# Haeshimu watu
|
||
|
|
||
|
"Hajali watu"
|