forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
497 B
Markdown
20 lines
497 B
Markdown
|
# Kama ndugu yako akikosa
|
||
|
|
||
|
Hii kauli inaonyesha kwamba tukio hilo pengine litatokea katika siku zijazo.
|
||
|
|
||
|
# ndugu yako
|
||
|
|
||
|
"ndugu" hapa limetumika kwa maana ya mtu aliye na imani sawa. "mwamini mwenzetu"
|
||
|
|
||
|
# Mkemee
|
||
|
|
||
|
"kumwambia kwanguvu kwamba aliyoyafanya ilikuwa ni makosa" au "msahishe"
|
||
|
|
||
|
# Na kama akikukosea mara saba
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha inaweza isitokee ila kama ikitokea Yesu anawaambia watu wasamehe.
|
||
|
|
||
|
# mara saba kwa siku
|
||
|
|
||
|
namba saba katika Biblia ni ishara ya ukamilifu. "mara nyingi katika siku"
|