forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
632 B
Markdown
24 lines
632 B
Markdown
|
# wakakusanya wote aliokua anawadai
|
||
|
|
||
|
"akakusanya vitu vyake" au "kuweka mambo yake katika mfuko wake"
|
||
|
|
||
|
# kununua vitu asivyo vihitaji, na kupoteza pesa yake juu ya maisha ya anasa
|
||
|
|
||
|
"kwa kutumia fedha yake yote juu ya vitu asivyo vihitaji"
|
||
|
|
||
|
# njaa kali ikaenea nchini kote
|
||
|
|
||
|
"ukame ukatokea huko na nchi nzima haikuwa na chakula cha kutosha"
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika hadithi kuu. Hapa Yesu anaeleza jinsi yule mdogo akaenda kutoka kuwa na mengi hadi kuwa katika uhitaji.
|
||
|
|
||
|
# kuwa katika mahitaji
|
||
|
|
||
|
"kukosa kile anachokihitaji" au "kutokua na yakutosha"
|
||
|
|
||
|
# maisha ya anasa
|
||
|
|
||
|
"kuishi bila kufikiria"
|