forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
575 B
Markdown
24 lines
575 B
Markdown
|
# Habari za jumla
|
||
|
|
||
|
Mmoja wa watu katika meza anaongea na Yesu na Yesu anajibu kwa kuwaeleza mfano
|
||
|
|
||
|
# Heri yeye
|
||
|
|
||
|
mtu alikuwa si akizungumza juu ya mtu fulani. AT "Amebarikiwa mtu yeyote ambaye" au" Jinsi nzuri ni kwa kila mtu. "
|
||
|
|
||
|
# yeyeto atakae kula mkate
|
||
|
|
||
|
neno "mkate" hutumika kwa kutaja mlo mzima" AT "ambao kula katika mlo."
|
||
|
|
||
|
# Lakini Yesu akamuambia
|
||
|
|
||
|
Yesu akaanza kuelezea mfano
|
||
|
|
||
|
# Wakati chakula cha jioni kikiwa kimeandaliwa
|
||
|
|
||
|
AT "Wakati huo kwa chakula cha jioni" au "Wakati chakula cha jioni kikiwa tayari kuanza"
|
||
|
|
||
|
# wale walioalikwa
|
||
|
|
||
|
AT "wale waliokuwa wamealikwa"
|