# Habari za jumla Mmoja wa watu katika meza anaongea na Yesu na Yesu anajibu kwa kuwaeleza mfano # Heri yeye mtu alikuwa si akizungumza juu ya mtu fulani. AT "Amebarikiwa mtu yeyote ambaye" au" Jinsi nzuri ni kwa kila mtu. " # yeyeto atakae kula mkate neno "mkate" hutumika kwa kutaja mlo mzima" AT "ambao kula katika mlo." # Lakini Yesu akamuambia Yesu akaanza kuelezea mfano # Wakati chakula cha jioni kikiwa kimeandaliwa AT "Wakati huo kwa chakula cha jioni" au "Wakati chakula cha jioni kikiwa tayari kuanza" # wale walioalikwa AT "wale waliokuwa wamealikwa"