sw_tn/luk/13/28.md

16 lines
458 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Unganisha maelezo
Yesu anaendelea kuzungumzia kuingia katika ufalme wa Mungu. Huu ni mwisho wa mazungumzo haya.
# lakini nyinyi-nyinyi mulikuwa mutupwe nje
"lakini ninyi wenyewe mulikuwa mutupwe nje." AT "Lakini Mungu atawafukuza nyinyi nje"
# Wao watafika
"Watu watakuja"
# wa mwisho ni wakwanza
Hii ni kuhusu heshima au umuhimu. AT "baadhi ambao ni muhimu angalau watakuwa muhimu zaidi'"au "baadhi ambaye watu hawata mheshima, Mungu atamheshimu."