forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
592 B
Markdown
20 lines
592 B
Markdown
|
# Je mnafikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani?
|
||
|
|
||
|
Yesu alitumia swali kufundisha wanafunzi wake. Watu walimtegemea Masiha awaletee amani kwa maadui wao. "Msifikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani"
|
||
|
|
||
|
# lakini badala yake mgawanyiko
|
||
|
|
||
|
" lakini nimekuja kuleta mgawanyiko" au "watu watakuwa wakigawanyika miongoni mwao kwa sababu nimekuja"
|
||
|
|
||
|
# mgawaniko
|
||
|
|
||
|
"uadui" au "kutoelewana"
|
||
|
|
||
|
# kutakuwa na watu watano katika nyumba moja wamegawanyika
|
||
|
|
||
|
Hii ni mfano wa aina ya mgawanyiko utakao kuwepo kwenye familia.
|
||
|
|
||
|
# kutakuwa na watano katika nyumba moja
|
||
|
|
||
|
kutakuwepo na watu watano katika nyumba moja
|