forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
604 B
Markdown
20 lines
604 B
Markdown
|
# Kauli ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yesu alianza kuelezea mfano
|
||
|
|
||
|
# nguo zenu refu zifungwe na mkanda
|
||
|
|
||
|
Watu walivaa mavazi marefu. Walikuwa wakifunga na mkanda ili kuwafanya waweze kutembea njiani . " Funga nguo zako na mkanda ili uweze kuhudumia" au Uvae na uwe tayari kuhudumia"
|
||
|
|
||
|
# taa zenu zihakikishwe kuwa zinaendelea kuwaka
|
||
|
|
||
|
"Fanyeni taa zenu ziendelee kuwaka"
|
||
|
|
||
|
# muwe kama watu wanaomtazamia Bwana wao
|
||
|
|
||
|
Hii unafananishwa na jinsi wanafunzi wanavyotakiwa kuwa tayari kwa Yesu kurudi kama watumishi walio tayari kwa bwana wao kurudi.
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwenye karamu ya harusi
|
||
|
|
||
|
"kurudi nyumbani kutoka kwenye karamu ya harusi"
|