forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
807 B
Markdown
28 lines
807 B
Markdown
|
# Kwasababu hiyo
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea sentensi iliyofuata, Mungu atawatuma manabii wengi ili kuonesha kuwa kizazi hiki kitawauwa, kama walivyofanya baba zao.
|
||
|
|
||
|
# Hekima ya Mungu inasema
|
||
|
|
||
|
"Mungu kwa hekima yake alisema" au "Mungu alisema kwa hekima"
|
||
|
|
||
|
# Nitawatumia manabii na mitume
|
||
|
|
||
|
"Nitawatumia manabii na mitume watu wangu"
|
||
|
|
||
|
# watawatesa na kuwauwa baadhi yao
|
||
|
|
||
|
"watu wangu watawatesa na kuwauwa baadhi ya manabii na mitume"
|
||
|
|
||
|
# Kizazi hiki, kitawajibika na damu iliyomwagwa ya manabi wote.
|
||
|
|
||
|
Damu iliyomwagwa inamaanisha mauwaji ya manabii. "Kwa hiyo Mungu atawajibisha kizazi hiki kwa kifo cha manabii wote ambao watu wamewauwa"
|
||
|
|
||
|
# Zakaria
|
||
|
|
||
|
Huyu ni kuhani wakati wa Agano la kale aliyewakemea watu wa israeli kwa habari ya usinzi. Huyu siye Baba wa Yohana Mbatizaji.
|
||
|
|
||
|
# ambaye ameuwawa
|
||
|
|
||
|
"ambaye watu walimuuwa"
|