forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
391 B
Markdown
8 lines
391 B
Markdown
|
# ambao
|
||
|
|
||
|
Hii huwafanya kuona utofauti kati yao kwa namna wanavyo waheshimu manabii wakati wakipuuza ukweli kuwa wababu zao ndio waliowauwa.
|
||
|
|
||
|
# hivyo ninyi mwashuhudia na kukubaliana
|
||
|
|
||
|
Yesu aliwakemea Mafarisayo na waalimu wa sheria . Walijua mauwaji ya manabii, lakini hawakushutumu wala kuwalaani wababu zao kwa kuwauwa. " kwahiyo, badala ya kuwakana wao, ninyi mwashuhudia na kukubaliana "
|