forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
575 B
Markdown
20 lines
575 B
Markdown
|
# mahali pasipo maji
|
||
|
|
||
|
"Hii inamaanisha "sehemu ya ukiwa", mahali ambapo roho mbaya hurandaranda .
|
||
|
|
||
|
# akikosa
|
||
|
|
||
|
"kama roho hakupata sehemu ya kupumzika"
|
||
|
|
||
|
# nyumba yangu nilikotokea
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mtu yule ambaye alikuwa anakaa kwake. "mtu ambaye nilikuwa nikikaa kwake"
|
||
|
|
||
|
# na kukuta nyumba imefagiliwa na imekaa vizuri
|
||
|
|
||
|
"akaikuta mtu alifagia nyumba na kuwa safi na kuweka kila kitu mahali pake " au " kumkuta mtu kama nyumba iliyosafishwa na kupangiliwa vizuri"
|
||
|
|
||
|
# imefagiliwa
|
||
|
|
||
|
"tupu" Mfano huu inamaanisha hali ambayo mtu hakujazwa Roho wa Mungu baada ya mapepo kuondoka.
|