forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
474 B
Markdown
24 lines
474 B
Markdown
|
# Maneno yenye kuunganisha
|
||
|
|
||
|
Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake namna ya kuomba.
|
||
|
|
||
|
# mkate wetu wa kila siku
|
||
|
|
||
|
Mkate ni chakula cha gharama ambacho huliwa na watu kila siku
|
||
|
|
||
|
# Utusamehe makosa yetu
|
||
|
|
||
|
"Utusamehe kwa kufanya dhambi kinyume na wewe" au "Tusamehe dhambi zetu"
|
||
|
|
||
|
# Kama nasi tunavyo wasamehe
|
||
|
|
||
|
Kwasbabu nasi tunawasamehe
|
||
|
|
||
|
# Waliotukosea
|
||
|
|
||
|
wale waliofanya makosa juu yetu au waliotutendea mambo mabaya
|
||
|
|
||
|
# Usituongoze katika Majaribu
|
||
|
|
||
|
Tuongoze mbali na majaribu
|