forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
992 B
Markdown
36 lines
992 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anajibu kwa kutumia simuilizi kwa mwalimu wa kiyahudi ambaye alitaka kumujaribu Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Tazama, mwalimu fulani
|
||
|
|
||
|
Hii pia ilitokea kwa wakati fulani, AT: "Siku moja Yesu alipokuwa akiwafundisha watu, Mwalimu fulani"(UDB)
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hii inatupeleka moja kwa moja kwa mtu mpya katika simulizi. Pengine lugha yako ikawa ina namna ya kufanya hivi.
|
||
|
|
||
|
# Alimujaribu
|
||
|
|
||
|
"Kumchanganya"
|
||
|
|
||
|
# Kimeandikwa nini katika sheria?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia mfano kumfundisha huyu Mwalimu wa kiyahudi. AT: "niambie ni nini Musa aliandika kwenye sheria"
|
||
|
|
||
|
# Unaisoma je?
|
||
|
|
||
|
"Umesoma nini ndani yake?" au "Unaelewa nini ambacho unaweza sema?"
|
||
|
|
||
|
# Lazima umpende.... jirani kama wewe mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Mtu yule(myahudi) ananukuu kile Musa alichoandika kwenye sheria.
|
||
|
|
||
|
# Moyo wako.....roho yako....nguvu zako...akili yako
|
||
|
|
||
|
Yote hii inamaanisha ya kuwa mtu lazima ampende Mungu kikamilifu na kila kitu chake
|
||
|
|
||
|
# Jirani yako
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mtu aliepo katika jamii yako. AT: "raia mwenzako" au "watu wa jamii yako".
|