forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
402 B
Markdown
16 lines
402 B
Markdown
|
# Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi
|
||
|
|
||
|
AT: "Mtu akiwasikiliza, ni kama ananisikiliza mimi"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote awakataapo anikataa mim
|
||
|
|
||
|
"Atakaye wakataa ninyi, amenikataa mimi".
|
||
|
|
||
|
# Yeyote anikataaye mimi amtakaa aliyenituma"
|
||
|
|
||
|
Atakaye nikataa mimi, itakuwa kama anamkataa yeye aliyenituma".
|
||
|
|
||
|
# Aliyenituma mimi.
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea Mungu Baba aliemuteuwa Yesu kwa ajili ya kazi Maalumu. AT: " Mungu, alienituma".
|