sw_tn/luk/10/08.md

12 lines
373 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Na wakawapokea ninyi.
" Kama wakiwakaribisha"
# Kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu
AT " kuleni chakula chochote watakacho wapeni"
# Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu,
Hii inarejea ya kuwa kazi ya ufalme wa Mungu ilikuwa ikifanyika mahali pale kupitia uponyaji kwa wanafunzi wake na mafundisho ya Yesu. AT:" Munaweza kuuona ufalme wa Mungu ukiwazunguka ninyi".