forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1000 B
Markdown
32 lines
1000 B
Markdown
|
# Amani iwe katika nyumba hii
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa ni salamu na baraka. Hapa "nyumba" inawakilisha watu wanaoishi ndani ya nyumba. AT: "watu wa nyumba hii na wapokee amani."
|
||
|
|
||
|
# mtu wa amani
|
||
|
|
||
|
"mtu mwenye amani." Huyu ni mtu anaetaka kuwa na amani na Mungu na watu.
|
||
|
|
||
|
# amani yenu itabaki juu yake
|
||
|
|
||
|
AT: "atakuwa na amani aliyombarikia"
|
||
|
|
||
|
# kama sivyo
|
||
|
|
||
|
AT: "kama hakuna mtu mwenye amani huko" au "mwenye nyumba sio mtu wa amani"
|
||
|
|
||
|
# itarudi kwenu
|
||
|
|
||
|
"hatokuwa na hiyo amani" au "hatoipokea hiyo amani uliyombarikia"
|
||
|
|
||
|
# Mbakie katika nyumba ile ile.
|
||
|
|
||
|
Yesu hakumaanisha waendelee kubakia ndani ya nyumba kwa siku nzima, ila wapate kulala katika nyumba mojakila usiku. AT:" Kuendelea kulala katika nyumba"
|
||
|
|
||
|
# Mfanya kazi anasitahili mshahara wake
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa alikuwa akizungumzia wale watu aliowatuma huko nje. Kwa sababu wangekuwa wakiwafundisha na kuwaponya watu, hivyo watu wangewapatia mahali pa kukaa pamoja na chakula.
|
||
|
|
||
|
# Msiende nyumba kwa nyumba
|
||
|
|
||
|
AT:" Msilale sehemu/nyumba tofauti tofauti katika kila usiku"
|