forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
737 B
Markdown
20 lines
737 B
Markdown
|
# enendeni katika njia zenu
|
||
|
|
||
|
"enendeni kwenye majiji" au "enendeni kwa watu"
|
||
|
|
||
|
# ninawatuma nje kama kondoo katikati ya mbwa mwitu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana ya kuwa kuna watu wangewadhuru wale ambao Yesu aliwatuma. Majina ya wanyama wengine yangeweza kuwakilishwa. AT;"Nitakapowatuma huko nje watu watawadhuru kama ambavyo mbwa mwitu huwaingilia kondoo"
|
||
|
|
||
|
# Mbwa mwitu
|
||
|
|
||
|
Hii imetafasiriwa na maana halisi ya "mbwa wa mwituni" au "mbwa wakali" au jina la mnyama wa pekee kama mbwa ambaye watu huwa wanamfaham.
|
||
|
|
||
|
# Musibebe mfuko/mikoba yenye pesa.
|
||
|
|
||
|
"Musichukue Mikoba yenye pesa ndani yake"
|
||
|
|
||
|
# Msimusalimie yeyote muwapo njiani.
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa anasisitiza ya kuwa waende kwa haraka huko mjini na wafanye hii kazi. Hakuwambia wawe wakorofi au watu wabaya.
|