forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
397 B
Markdown
12 lines
397 B
Markdown
|
# liona hili
|
||
|
|
||
|
"aliona kwamba wasamaria hawakumpokea Yesu"
|
||
|
|
||
|
# tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze
|
||
|
|
||
|
Yakobo na Yohana walipendekeza njia hii ya hukumu kwa sababu walijua kwamba hivi ndivyo manabii kama Elia walivyo hukumu watu waliomkataa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# aliwageukia akawakemea
|
||
|
|
||
|
"Yesu aligeuka na kuwakemea Yakobo na Yohana." Yesu hakuwahukumu Wasamaria , kama wanafunzi walivyo tegemea.
|