forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
594 B
Markdown
28 lines
594 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Na sas ni dhahili kuwa Yesu ameamua kwenda Yerusalem.
|
||
|
|
||
|
# Ikatokea kwamba
|
||
|
|
||
|
Hii tungo imetumika hapa kuashiri mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi
|
||
|
|
||
|
# siku zake za kwenda juu zilikaribia
|
||
|
|
||
|
"muda ulikuwa unafika wa yeye kwenda juu" au " muda ulikaribia wa yeye kwenda juu"
|
||
|
|
||
|
# aliazimia
|
||
|
|
||
|
"kudhamilia" au "kukusudia"
|
||
|
|
||
|
# weka uso wake
|
||
|
|
||
|
AT: "alifikiria akilini mwake" au "aliamua"
|
||
|
|
||
|
# kumuandalia
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kufanya mipango ya kufika katika eneo, inawezekana kuunganisha eneo la kuongealea, anaeo la kukaa, na chakula.
|
||
|
|
||
|
# Hawakumpokea
|
||
|
|
||
|
"hawakumkaribisha" au au hawakutaka abaki"
|