forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
677 B
Markdown
28 lines
677 B
Markdown
|
# Wote walishangazwa kwa ukuu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Yesu alifanya miujiza , lakini umati haukutambua nguvu za Mungu zilitumika kuponya.
|
||
|
|
||
|
# aliyo yafanya
|
||
|
|
||
|
"kwamba Yesu alifanya"
|
||
|
|
||
|
# Maneno haya yazame kwa undani masikioni mwenu
|
||
|
|
||
|
AT: "sikizia kwa makini na ukumbuke" au "usisahau hili"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa mwana wa Adamu atatolewa kwenye mikoni ya wanadamu
|
||
|
|
||
|
Hapa " mikono" inamaanisha nguvu au utawala. AT : "wanadamu watamkabidhisha mwan wa Adamu kwenye mamlaka."
|
||
|
|
||
|
# mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Yesu anajiongelea mwenyewe kwenye nafsi ya tatu. AT: "mimi, mwana wa Adamu"
|
||
|
|
||
|
# Lakni hawakuelewa maana ya neno hili
|
||
|
|
||
|
AT: "wahakujua anaongelea kifo chake"
|
||
|
|
||
|
# na lilifichwa juu yao
|
||
|
|
||
|
AT: "Mungu aliwafichia maana yake"
|