sw_tn/luk/09/32.md

24 lines
819 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# sasa
Hii sentensi ya imetumika kuashiria pumziko kwenye hadithi wenyewe inayotolewa, Hapa Luka anasimuili taarifa kuhusu Musa na Yakobo, na Yohana.
# waliuona utukufu wake
Hii inamaanisha mwanga uliowaka kuwazunguka. AT: "Aliona mwanga mkali unawaka kwa yesu" au "waliona mwanga mkali unatokea ndani ya Yesu"
# wanaume waili walikuwa wamesimama nae
Inamaanisha Musa na Elisha.
# Ikatokea kwamba
Hii sentensi imetumika hapa kuonesha matukio yananza. Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa.
# Bwana
Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hili linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "kiongozi" au neno huwa linatumika kueleza mtu mwenye mamlaka, mfano kama "Sir"
# malazi
"hema" au "kibanda"