forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
818 B
Markdown
36 lines
818 B
Markdown
|
# Akawaambia
|
||
|
|
||
|
"Yesu akawaambia wale thenashara"
|
||
|
|
||
|
# Usichukue chochote
|
||
|
|
||
|
AT." usichukue chochote" au "usije na chochote"
|
||
|
|
||
|
# Kwaajili ya safari yako
|
||
|
|
||
|
"kwa ajili ya safari yako" au "wakati unasafiri." Wasichukue chochote kwaajili ya safiri yao yote, watapita kijiji kwa kijiji mpaka warudi kwa yesu.
|
||
|
|
||
|
# fimbo
|
||
|
|
||
|
"fimbo" au "fimbo ya kutembelea." ilikuwa ni fimbo kubwa iliyotumika kumsaidia mtu wakati wa kupanda au kwenye barabara mbovu. ilikuwa ikitumika pia kujilinda dhidi ya watekaji.
|
||
|
|
||
|
# Mkoba
|
||
|
|
||
|
ni mfano wa kibebeo(begi) ambalo wasafiri hutumia kwa kubebea kile anachokitaka safarini.
|
||
|
|
||
|
# Mkate
|
||
|
|
||
|
AT: "Chakula"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba yeyote mtakayoingia
|
||
|
|
||
|
"Nyumba yoyote mtakayoingia"
|
||
|
|
||
|
# Kaeni humo
|
||
|
|
||
|
"Bakieni humo" au "muishi kwa mda ndani ya ile nyumba kama wageni"
|
||
|
|
||
|
# Kutoka mahali hapo
|
||
|
|
||
|
"kutoka mjini" au "kutoka katika sehemu ile"
|