sw_tn/luk/06/06.md

32 lines
775 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi Unganishi:
Waandishi na Mafarisayo wanatazama Yesu anaponya mtu siku ya Sabato
# Taarifa kwa Ujumla
Hapa sasa ni siku ya Sabato nyingine na Yesu yuko kwenye Sinagogi.
# Ilitokea
Kirai hiki kimetumika hapa kuzibgatia mwanzo wa tukio jipya katika masimulizi.
# Mtu alikuwa pale
Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi.
# mkono wake umepooza
mkono wa mtu ambaye umepata umeadhirika kiasi ambachomhawezi kuunyoosha. Ulikuwa umejikunja kwenye eneo la ngumi, ikaufanya uonekane mdogo na wenye kupinda.
# walikuwa wanamuangalia kwa karibu
"walikuwa wanamuangalia Yesu kwa makini"
# ili waweze kupata
"kwa sababu walitaka kutafuta"
# katikati ya kila mmoja
"mbele ya kila mtu" (UDB). Yesu alimtaka yule mtu kusimama ambapo kila mmoja angemuona.