forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
775 B
Markdown
32 lines
775 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Waandishi na Mafarisayo wanatazama Yesu anaponya mtu siku ya Sabato
|
||
|
|
||
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Hapa sasa ni siku ya Sabato nyingine na Yesu yuko kwenye Sinagogi.
|
||
|
|
||
|
# Ilitokea
|
||
|
|
||
|
Kirai hiki kimetumika hapa kuzibgatia mwanzo wa tukio jipya katika masimulizi.
|
||
|
|
||
|
# Mtu alikuwa pale
|
||
|
|
||
|
Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi.
|
||
|
|
||
|
# mkono wake umepooza
|
||
|
|
||
|
mkono wa mtu ambaye umepata umeadhirika kiasi ambachomhawezi kuunyoosha. Ulikuwa umejikunja kwenye eneo la ngumi, ikaufanya uonekane mdogo na wenye kupinda.
|
||
|
|
||
|
# walikuwa wanamuangalia kwa karibu
|
||
|
|
||
|
"walikuwa wanamuangalia Yesu kwa makini"
|
||
|
|
||
|
# ili waweze kupata
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu walitaka kutafuta"
|
||
|
|
||
|
# katikati ya kila mmoja
|
||
|
|
||
|
"mbele ya kila mtu" (UDB). Yesu alimtaka yule mtu kusimama ambapo kila mmoja angemuona.
|