forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
601 B
Markdown
20 lines
601 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Yesu alipoondoka nyumbani, anamwita Lawi, Myahudi mtoza ushuru amfuate. Lawi anaandaa mlo kwaajili ya Yesu uliowakera mafarisayo na waandishi.
|
||
|
|
||
|
# Baada ya mambo hayo kutokea
|
||
|
|
||
|
Kirai "vitu hivi" kinamaanisha kilichotokea kwenye mistari iliyopita. Ishara hii ni tukio jipya.
|
||
|
|
||
|
# akamwona mtoza ushuru
|
||
|
|
||
|
"akamwangalia mtoza ushuru kwa umakini "au" alimwangalia mtoza ushuru kwa uangalifu"
|
||
|
|
||
|
# Nifuate
|
||
|
|
||
|
Kufuata mtu ilikuwa ni kauli imaanishayo kuwa mwanafunzi. NI: "Kuwa mwanafunzi wangu "au" njoo, nifuate kama mwalimu wako"
|
||
|
|
||
|
# Acha vyote nyuma
|
||
|
|
||
|
"akaacha kazi yake kama mtoza ushuru"
|