forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
718 B
Markdown
20 lines
718 B
Markdown
|
# Sasa ... alikuwepo mtu
|
||
|
|
||
|
Kirai hiki kinatumika kudokeza utangulizi wa mhusika mpya ndani ya simulizi; katika suala hili, mtu aliyepagawa pepo.
|
||
|
|
||
|
# ambaye alikuwa na pepo mchafu
|
||
|
|
||
|
"ambaye alipagawa na pepo mchafu" au "ambaye alitawaliwa na na roho mchafu" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# alilia kwasauti ya juu
|
||
|
|
||
|
"yeye alipiga kelele"
|
||
|
|
||
|
# Tunanini cha kufanya na wewe
|
||
|
|
||
|
Hili jibu la kichokozi ni nahau ambayo inamaana: "Nini tulichonacho cha kufanana?" au "unahaki gani ya kutusumbua sisi?"
|
||
|
|
||
|
# Nini cha kufanya na wewe, Yesu wa Nazarethi?
|
||
|
|
||
|
Swali hili lingeandikwa kama sentensi. NI: "Nini wewe, Yesu wa Nazarethi, unataka kutufanyia" au Hakuna chochote cha kufanya na wewe, Yesu wa nazarethi!" au "Huna haki kutusumbua sisi, Yesu wa Nazarethi!"
|