forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
964 B
Markdown
24 lines
964 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Yesu alirudi Galilaya, akifundisha katika Sinagogi, na anawaambia watu pale kwamba yeye anatimiza maandiko ya Isaya nabii.
|
||
|
|
||
|
# Ndipo Yesu alirudi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanza simulizi jipya katika habari.
|
||
|
|
||
|
# katika nguvu ya Roho
|
||
|
|
||
|
"na Roho alikuwa anampa yeye nguvu." Mungu alikuwa pamoja na Yesu kwa namna maalumu, anamwezesha yeye kufanya vitu ambayo kawaida watu wasingeviweza.
|
||
|
|
||
|
# habari kumhusu yeye zikaenea
|
||
|
|
||
|
Wale waliomsikia Yesu waliwaambia watu wengine kuhusu yeye, na ndipo wale watu wengine waliwaambia hata zaidi kuhusu yeye. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "watu wakaeneza habari kuhusu Yesu" au "watu waliwaambia watu wengine kuhusu Yesu" au "maarifa kumhusu yeye yalikuwa yakipita kutoka kwa mtu kwenda mtu mwingine"
|
||
|
|
||
|
# kupitia katika eneo lote linalozunguka ukanda
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwenye maeneo au mahali karibu na Galilaya.
|
||
|
|
||
|
# likuwa anasifiwa na wote
|
||
|
|
||
|
"kila mmoja alisema mambo makuu kuhusu yeye" au "watu wote walimsema vizuri "
|