forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
912 B
Markdown
20 lines
912 B
Markdown
|
# Kama ni mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Ibilisi anamtega Yesu afanye muujiza huu ili kwamba athibitishe yeye ni "mwana wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# hili jiwe
|
||
|
|
||
|
Ibilisi ama anashikilia jiwe au ananyooshea kidole kwenye jiwe lililokaribu.
|
||
|
|
||
|
# Yesu alimjibu
|
||
|
|
||
|
Kukataa kwa Yesu kukosolewa na Ibilisi iko wazi kwenye jibu lake. Itaweza kusaidia kusemwa hili kwa wazi kwa kundi lako, kama inavyofanya UDB "Yesu alijibu, Hapana, sitafanya hivyo"
|
||
|
|
||
|
# Hii imeandikwa
|
||
|
|
||
|
Nukuu inatoka kwa Maandiko ya Musa katika Agano la Kale. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko"
|
||
|
|
||
|
# Mtu haishi kwa mkate pekee
|
||
|
|
||
|
Neno "mkate" linarejea kwenye chakula kwa ujumla. Chakula kama ukilinganisha kwa Mungu, chenyewe tu, hakitoshi, kumtosheleza mtu. Yesu ananukuu maandiko kwanini asibadili jiwe mkate. NI: "watu hawahawezi kuishi kwa mkate tu" au "siyo chakula tu ambacho kinamfanya mtu aishi" au "Mungu anasema vitu mhimu zaidi ya chakula"
|