sw_tn/luk/04/03.md

20 lines
912 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Kama ni mwana wa Mungu
Ibilisi anamtega Yesu afanye muujiza huu ili kwamba athibitishe yeye ni "mwana wa Mungu"
# hili jiwe
Ibilisi ama anashikilia jiwe au ananyooshea kidole kwenye jiwe lililokaribu.
# Yesu alimjibu
Kukataa kwa Yesu kukosolewa na Ibilisi iko wazi kwenye jibu lake. Itaweza kusaidia kusemwa hili kwa wazi kwa kundi lako, kama inavyofanya UDB "Yesu alijibu, Hapana, sitafanya hivyo"
# Hii imeandikwa
Nukuu inatoka kwa Maandiko ya Musa katika Agano la Kale. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko"
# Mtu haishi kwa mkate pekee
Neno "mkate" linarejea kwenye chakula kwa ujumla. Chakula kama ukilinganisha kwa Mungu, chenyewe tu, hakitoshi, kumtosheleza mtu. Yesu ananukuu maandiko kwanini asibadili jiwe mkate. NI: "watu hawahawezi kuishi kwa mkate tu" au "siyo chakula tu ambacho kinamfanya mtu aishi" au "Mungu anasema vitu mhimu zaidi ya chakula"