forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
943 B
Markdown
36 lines
943 B
Markdown
|
# Kauli Unganisha
|
||
|
|
||
|
Wakati Yesu akiwa na umri wa mika 12, huenda Yerusalemu pamoja na familia yake. Wakati akiwa pale, anauliza na kujibu maswali kwa waalimu hekaluni.
|
||
|
|
||
|
# Wazazi wake walikwenda ... sherehe ya Pasaka
|
||
|
|
||
|
Haya ni maelezo ya nyuma. (angalia:
|
||
|
|
||
|
# Wazazi wake
|
||
|
|
||
|
"Wazazi wa Yesu"
|
||
|
|
||
|
# wakapanda tena
|
||
|
|
||
|
Yerusalemu ulikuwa juu ya mlima zaidi kuliko ya maeneo mengine, hivyo wilikuwa kawaida kwa Waisreli kusema wanapanda kwenda huko Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# kwa muda wa kidesturi
|
||
|
|
||
|
"muda wa kawaida" au "kama walivyofanya kila mwaka"
|
||
|
|
||
|
# baada ya kubaki kwa siku nyingi kwaajili ya sherehe
|
||
|
|
||
|
"Wakati wote wa kusherehekea sikuu ulipokwisha" au "Baada ya kusherehekea sikukuu kwa siku zote zilizotakiwa"
|
||
|
|
||
|
# sikukuu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la kwaajili ya sherehe ya Pasaka, sababu ilihusisha kula chakula cha sherehe.
|
||
|
|
||
|
# Walidania
|
||
|
|
||
|
"walifikiri"
|
||
|
|
||
|
# walisafiri safari ya siku nzima
|
||
|
|
||
|
"walisafiri siku moja" au "walikwenda umbali wa kama watu wanatembea siku moja"
|