forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
581 B
Markdown
20 lines
581 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Mariamu, Yusufu na Yesu waliondoka Bethlehemu na kurudi kwenye mji wa Nazarethi kwaajili ya utoto wake.
|
||
|
|
||
|
# wao walitakiwa kufanya kutokana na sheria ya Bwana
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwamba sheria ya Bwana iliwataka kufanya."
|
||
|
|
||
|
# mji wa kwao, Nazarethi
|
||
|
|
||
|
Kauli hii inamaana waliishi Nazarethi. Hakikisha haieleweki kama mji ulio milikiwa.
|
||
|
|
||
|
# kuongezeka katika hekima
|
||
|
|
||
|
"kuwa na hekima zaidi" au "alijifunza ambayo yalikuwa ya hekima"
|
||
|
|
||
|
# neema ya Mungu ilikuwa juu yake
|
||
|
|
||
|
"Mungu alimbariki" au "Mungu alikuwa pamoja naye kwa namna pekee"
|