forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
512 B
Markdown
20 lines
512 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla:
|
||
|
|
||
|
Sheria Mungu aliyowapa Wayahudi waamini aliwaambia lini mtoto mvulana atahiriwe na sadaka ipi wazazi walete.
|
||
|
|
||
|
# ilipokuwa mwishoni mwa siku ya nane
|
||
|
|
||
|
kauli hii inaonesha muda ukapita kabla ya tukio jipya.
|
||
|
|
||
|
# mwishoni mwa siku ya nane
|
||
|
|
||
|
"ilikuwa siku nane baadaya kuzaliwa kwake" au "alikuwa na umri wa siku nane"
|
||
|
|
||
|
# aliitwa
|
||
|
|
||
|
Yusufu na Mariamu walimwita jina lake.
|
||
|
|
||
|
# jina alilokwishakuwa amepewa na malaika
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "jina ambalo malaika alimwita."
|